"Maisha Yetu" ni blog ambayo inaelezea maisha ya kila siku ya mtanzania katika tufafuta maisha yaliyo bora. Blog hii pia inatoa uwanja kwa mtu yeyote kuweza kuchangia kwa namna yoyote ili kusaidia vijana tuweze kujiajili wenyewe na kuachana na maisha ya taabu.....KWA PAMOJA TUNAWEZA MANA TUMEDHUBUTU.....KARIBUNI WOTE
MAISHA YETU......!!!!
Sunday, November 20, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Dogo hongera sana,kumbe shule imeisha! Years go fast kiivyo,karibu ktk chama,nice kuona na ww umeanza kublogua,it's interesting sana,mm nina 2 sasa,thanks for checking out.Nitakua napitia pitia kucheck.
ReplyDeleteworry out my sister, nipo nipo kitaa nakomaa kimtindo mana life ni kusaka mahela, nasubiri post za serikali mwakani japo nataka kwenda kusoma tena mwakani..........wish to be uko uko kama ikiwezekana!!!!!!!!
ReplyDeletestrategy nzuri sana iyo,umri bado unaruhusu sana tu,piga skul kwanza, mengine yatakuja yenyewe,kwaiyo ulikuwa unataka kuendelea kusoma nn labda? unaweza nichek ktk email yangu kusuwili@gmail.com
ReplyDeletePowa my sister, nitaku-email mana nataka by next year nianze tena......salamu kwa mr na mwambie Mama Luhaga anamsalimia sana.........
ReplyDelete